Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 39:16 - Swahili Revised Union Version

16 Basi akaiweka ile nguo kwake hata bwana wake aje nyumbani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Basi, yule mwanamke akaliweka vazi hilo mpaka mumewe aliporudi nyumbani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Basi, yule mwanamke akaliweka vazi hilo mpaka mumewe aliporudi nyumbani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Basi, yule mwanamke akaliweka vazi hilo mpaka mumewe aliporudi nyumbani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Yule mwanamke akaliweka lile vazi karibu naye hadi Potifa aliporudi nyumbani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Yule mwanamke akaliweka lile vazi karibu naye mpaka Potifa aliporudi nyumbani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Basi akaiweka ile nguo kwake hata bwana wake aje nyumbani.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 39:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, aliposikia ya kuwa nimepaza sauti yangu na kulia, aliiacha nguo yake kwangu, akakimbia, akatoka nje.


Naye akamwambia maneno yayo hayo, akisema, Yule mtumwa Mwebrania uliyemleta kwetu, aliingia kwangu anidhihaki.


Asiye haki hunuia mabaya juu ya mwenye haki, Na kumsagia meno yake.


Mtu asiye haki humvizia mwenye haki, Na kutafuta jinsi ya kumwua.


Kwa maana watu wangu ni wapumbavu, hawanijui; ni watoto waliopungukiwa na akili, wala hawana ufahamu; ni wenye akili katika kutenda mabaya, bali katika kutenda mema hawana maarifa.


Maana hapo zamani sisi nasi tulikuwa hatuna akili, tulikuwa waasi, tumedanganywa, huku tukitumikia tamaa na anasa za namna nyingi, tukiishi katika uovu na husuda, tukichukiza na kuchukiana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo