Mwanzo 38:2 - Swahili Revised Union Version2 Yuda akaona huko binti wa mtu Mkanaani, jina lake Shua. Akamtwaa, akaingia kwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Akiwa huko, Yuda akamwona binti Shua, Mkanaani, akamwoa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Akiwa huko, Yuda akamwona binti Shua, Mkanaani, akamwoa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Akiwa huko, Yuda akamwona binti Shua, Mkanaani, akamwoa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Huko Yuda akakutana na binti ya Mkanaani aitwaye Shua. Akamwoa na akakutana naye kimwili, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Huko Yuda akakutana na binti wa Kikanaani aitwaye Shua, akamwoa na akakutana naye kimwili, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Yuda akaona huko binti wa mtu Mkanaani, jina lake Shua. Akamtwaa, akaingia kwake. Tazama sura |