Mwanzo 38:1 - Swahili Revised Union Version1 Ikawa wakati ule, Yuda akashuka kutoka kwa ndugu zake, akamfikia mtu Mwadulami, jina lake Hira. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Wakati huo, Yuda alitengana na ndugu zake, akaenda kukaa na mtu mmoja Mwadulami, jina lake Hira. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Wakati huo, Yuda alitengana na ndugu zake, akaenda kukaa na mtu mmoja Mwadulami, jina lake Hira. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Wakati huo, Yuda alitengana na ndugu zake, akaenda kukaa na mtu mmoja Mwadulami, jina lake Hira. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Wakati ule, Yuda akawaacha ndugu zake, akaenda kuishi na Hira Mwadulami. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Wakati ule, Yuda akawaacha ndugu zake, akaenda kuishi na Hira Mwadulami. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Ikawa wakati ule, Yuda akashuka kutoka kwa ndugu zake, akamfikia mtu Mwadulami, jina lake Hira. Tazama sura |