Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 34:4 - Swahili Revised Union Version

4 Shekemu akamwambia Hamori, babaye, akasema, Unipatie msichana huyu awe mke wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Kwa hiyo, Shekemu akazungumza na Hamori baba yake, akamwambia, “Tafadhali, niombee huyo msichana nimwoe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Kwa hiyo, Shekemu akazungumza na Hamori baba yake, akamwambia, “Tafadhali, niombee huyo msichana nimwoe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Kwa hiyo, Shekemu akazungumza na Hamori baba yake, akamwambia, “Tafadhali, niombee huyo msichana nimwoe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Shekemu akamwambia Hamori, baba yake, “Nipatie msichana huyu awe mke wangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Shekemu akamwambia baba yake Hamori, “Nipatie msichana huyu awe mke wangu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Shekemu akamwambia Hamori, babaye, akasema, Unipatie msichana huyu awe mke wangu.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 34:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akakaa katika jangwa la Parani; mama yake akamtwalia mke katika nchi ya Misri.


Moyo wake ukaambatana na Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana, akasema na huyu msichana kwa maneno mazuri.


Basi Yakobo akasikia ya kwamba amembikiri Dina, binti yake. Na wanawe walikuwako pamoja na wanyama wake nyikani. Yakobo akanyamaza, hadi walipokuja.


Nami nichukue wapi aibu yangu? Wewe nawe utakuwa kama mmoja wa wapumbavu wa Israeli. Basi, sasa, nakusihi, useme na mfalme; kwa maana hatakukataza kunioa.


oeni wake, mkazae wana na binti; kawaozeni wake wana wenu, mkawaoze waume binti zenu, wazae wana na binti; mkaongezeke huko wala msipungue.


Kisha akapanda, akawaambia baba yake na mama yake, akasema, Nimemuona mwanamke huko Timna, mmojawapo wa binti za Wafilisti; basi mniruhusu, nimuoe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo