Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 34:3 - Swahili Revised Union Version

3 Moyo wake ukaambatana na Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana, akasema na huyu msichana kwa maneno mazuri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Lakini Shekemu akavutiwa sana na huyo msichana, akampenda hata akaanza kumbembeleza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Lakini Shekemu akavutiwa sana na huyo msichana, akampenda hata akaanza kumbembeleza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Lakini Shekemu akavutiwa sana na huyo msichana, akampenda hata akaanza kumbembeleza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Moyo wake ukavutwa sana kwa Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana na akazungumza naye kwa kumbembeleza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Moyo wake ukavutwa sana kwa Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana na akazungumza naye kwa kumbembeleza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Moyo wake ukaambatana na Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana, akasema na huyu msichana kwa maneno mazuri.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 34:3
11 Marejeleo ya Msalaba  

Shekemu, mwana wa Hamori, Mhivi, mkuu wa nchi, akamwona akamtwaa, akalala naye, akambikiri.


Shekemu akamwambia Hamori, babaye, akasema, Unipatie msichana huyu awe mke wangu.


Basi sasa msiogope; mimi nitawalisha na watoto wenu. Akawafariji, na kusema nao vema.


Basi sasa, ondoka, utoke nje, ukaseme na watumishi wako maneno ya kuwatuliza roho zao; maana mimi nakuapia kwa BWANA, usipotoka, hatabaki hata mtu mmoja pamoja nawe usiku huu; na mambo haya yatakuwa mabaya kwako kuliko mabaya yote yaliyokupata tokea ujana wako hadi sasa.


Hezekia akawafurahisha mioyo Walawi wote waliokuwa mastadi wa kumtumikia BWANA. Basi muda wa siku saba wakala sikukuu, wakitoa dhabihu za sadaka za amani, na kumtolea shukrani BWANA, Mungu wa baba zao.


Semeni na moyo wa Yerusalemu, kauambieni kwa sauti kuu ya kwamba vita vyake vimekwisha, uovu wake umeachiliwa; kwa kuwa amepokea kwa mkono wa BWANA adhabu maradufu kwa dhambi zake zote.


Kwa hiyo angalia, mimi nitamshawishi, na kumleta nyikani, na kusema naye maneno ya kumtuliza moyo.


Tena siku hiyo itakuwa, asema BWANA, utaniita Ishi, wala hutaniita tena Baali.


Kisha mumewe akaondoka akamfuata, aseme naye kwa upendo, ili apate kumrudisha tena, naye alikuwa na mtumishi wake pamoja naye na punda kadhaa; huyo mwanamke akamkaribisha katika nyumba ya baba yake; naye baba yake alipomwona akafurahi kuonana naye.


Nao wakapaza sauti zao, wakalia tena, na Orpa akambusu mkwewe, lakini Ruthu akaambatana naye.


Ikawa Daudi alipokwisha kusema na Sauli, roho ya Yonathani, ikaambatana na roho ya Daudi, Yonathani akampenda kama roho yake mwenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo