Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 34:18 - Swahili Revised Union Version

18 Maneno yao yakawa mema machoni pa Hamori, na machoni pa Shekemu, mwana wa Hamori.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Pendekezo lao likawapendeza Hamori na mwanawe Shekemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Pendekezo lao likawapendeza Hamori na mwanawe Shekemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Pendekezo lao likawapendeza Hamori na mwanawe Shekemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Pendekezo lao likakubalika kwa Hamori na Shekemu mwanawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Pendekezo lao likawa jema kwa Hamori na Shekemu mwanawe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Maneno yao yakawa mema machoni pa Hamori, na machoni pa Shekemu, mwana wa Hamori.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 34:18
3 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini kama hamtusikii na kutahiriwa, basi tutamtwaa binti yetu, nasi tutakwenda zetu.


Na yule kijana hakukawia kulifanya neno lile, maana amependezewa na binti Yakobo, naye alikuwa mwenye heshima kuliko wote nyumbani mwa babaye.


Habari ikasikika nyumbani mwa Farao kusema, Ndugu zake Yusufu wamekuja. Ikawa vema machoni pa Farao, na machoni pa watumishi wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo