Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 34:17 - Swahili Revised Union Version

17 Lakini kama hamtusikii na kutahiriwa, basi tutamtwaa binti yetu, nasi tutakwenda zetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Lakini msipokubaliana nasi na kutahiriwa, basi, sisi tutamchukua binti yetu na kwenda zetu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Lakini msipokubaliana nasi na kutahiriwa, basi, sisi tutamchukua binti yetu na kwenda zetu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Lakini msipokubaliana nasi na kutahiriwa, basi, sisi tutamchukua binti yetu na kwenda zetu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Lakini mkikataa kutahiriwa, tutamchukua dada yetu na kuondoka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Lakini mkikataa kutahiriwa, tutamchukua ndugu yetu na kuondoka.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Lakini kama hamtusikii na kutahiriwa, basi tutamtwaa binti yetu, nasi tutakwenda zetu.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 34:17
2 Marejeleo ya Msalaba  

ndipo tutawapa ninyi binti yetu, na sisi tutatwaa binti zenu tutakaa pamoja nanyi, nasi tutakuwa watu wamoja.


Maneno yao yakawa mema machoni pa Hamori, na machoni pa Shekemu, mwana wa Hamori.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo