Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 33:7 - Swahili Revised Union Version

7 Lea naye, na wanawe, wakakaribia wakainama. Baadaye Yusufu na Raheli wakakaribia, wakainama.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Hali kadhalika Lea akaja pamoja na watoto wake, akainama kwa heshima. Hatimaye, Raheli na Yosefu wakaja, wakainama kwa heshima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Hali kadhalika Lea akaja pamoja na watoto wake, akainama kwa heshima. Hatimaye, Raheli na Yosefu wakaja, wakainama kwa heshima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Hali kadhalika Lea akaja pamoja na watoto wake, akainama kwa heshima. Hatimaye, Raheli na Yosefu wakaja, wakainama kwa heshima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kisha Lea na watoto wake wakaja na kusujudu. Mwisho wa wote wakaja Yusufu na Raheli, nao pia wakasujudu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kisha Lea na watoto wake wakaja na kusujudu. Mwisho wa wote wakaja Yusufu na Raheli, nao pia wakasujudu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Lea naye, na wanawe, wakakaribia wakainama. Baadaye Yusufu na Raheli wakakaribia, wakainama.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 33:7
2 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wale vijakazi, na wana wao, wakakaribia wakainama.


Akasema, Kundi hili lote nililokutana nalo, maana yake ni nini? Akasema, Ili kunipatia kibali machoni pa bwana wangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo