Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 29:5 - Swahili Revised Union Version

5 Akawauliza, Je! Mnamjua Labani, mwana wa Nahori? Wakasema, Tunamjua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Naye akawauliza, “Je, mnamfahamu Labani mwana wa Nahori?” Wakamjibu, “Tunamfahamu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Naye akawauliza, “Je, mnamfahamu Labani mwana wa Nahori?” Wakamjibu, “Tunamfahamu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Naye akawauliza, “Je, mnamfahamu Labani mwana wa Nahori?” Wakamjibu, “Tunamfahamu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Akawauliza, “Je, mnamfahamu Labani, mjukuu wa Nahori?” Wakamjibu, “Ndiyo, tunamfahamu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Aliwaambia, “Je, mnamjua Labani, mjukuu wa Nahori?” Wakamjibu, “Ndiyo, tunamfahamu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Akawauliza, Je! Mnamjua Labani, mwana wa Nahori? Wakasema, Tunamjua.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 29:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, kabla hajaisha kunena, tazama, Rebeka anatokea, binti wa Bethueli mwana wa Milka, mkewe Nahori, ndugu wa Abrahamu, naye ana mtungi begani pake.


Akasema, Mimi ni binti wa Bethueli mwana wa Milka, aliyemzalia Nahori.


Na Rebeka alikuwa na kaka, jina lake Labani. Labani akatoka mbio kumwendea yule mtu kisimani.


Mungu wa Abrahamu, na Mungu wa Nahori, Mungu wa baba yao, ahukumu kati yetu. Yakobo akaapa kwa Hofu ya Isaka baba yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo