Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 27:33 - Swahili Revised Union Version

33 Isaka akatetemeka tetemeko kuu sana, akasema, Ni nani basi yule aliyetwaa mawindo akaniletea? Nami nimekwisha kula kabla hujaja wewe, nikambariki; naam, naye atabarikiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Hapo Isaka akatetemeka mno, akasema, “Ni nani basi yule aliyewinda na kuniletea mawindo, nami nimekwisha kula kabla hujaja? Tena nimekwisha mbariki; naam, amekwisha barikiwa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Hapo Isaka akatetemeka mno, akasema, “Ni nani basi yule aliyewinda na kuniletea mawindo, nami nimekwisha kula kabla hujaja? Tena nimekwisha mbariki; naam, amekwisha barikiwa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Hapo Isaka akatetemeka mno, akasema, “Ni nani basi yule aliyewinda na kuniletea mawindo, nami nimekwisha kula kabla hujaja? Tena nimekwisha mbariki; naam, amekwisha barikiwa!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Isaka akatetemeka kwa nguvu sana, akasema, “Alikuwa nani basi, ambaye aliwinda mawindo akaniletea? Nilikula kabla tu hujaja na nikambariki, naye hakika atabarikiwa!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Isaka akatetemeka kwa nguvu sana, akasema, “Alikuwa nani basi, ambaye aliwinda mawindo akaniletea? Nilikula kabla tu hujaja na nikambariki, naye hakika atabarikiwa!”

Tazama sura Nakili




Mwanzo 27:33
14 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia, Mataifa mawili yako tumboni mwako, Na makabila mawili ya watu watafarakana tangu tumboni mwako. Kabila moja litakuwa hodari kuliko la pili, Na mkubwa atamtumikia mdogo.


Akasema, Nduguyo amekuja kwa hila, akaichukua baraka yako.


Basi Isaka akamwita Yakobo, akambariki, akamwagiza akamwambia, Usitwae mke wa binti za Kanaani.


Hata nikumbukapo nahuzunika, Na utisho wanishika mwilini mwangu.


Moyo wangu hutetemeka kwa hayo pia, Nao huruka kutoka mahali pake.


Hofu na tetemeko limenijia, Na hofu kubwa imeniingia.


Tazama, nimepewa amri kubariki, Yeye amebariki, nami siwezi kulitangua.


Mwizi huja tu kuiba, kuua na kuharibu; mimi nilikuja ili wawe na uzima, tena wawe nao tele.


Kwa sababu karama za Mungu hazina majuto, wala mwito wake.


Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani yake Kristo;


Kwa imani Isaka akawabariki Yakobo na Esau, hata kuhusu mambo yatakayokuwa baadaye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo