Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 26:20 - Swahili Revised Union Version

20 Wachungaji wa Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaka wakisema, Maji haya ni yetu. Ndipo akakiita jina la kile kisima Eseki, kwa sababu waligombana naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 wachungaji wa hapo Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaka wakisema, “Maji haya ni yetu.” Hivyo Isaka akakiita kisima hicho Eseki, kwa sababu waligombana naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 wachungaji wa hapo Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaka wakisema, “Maji haya ni yetu.” Hivyo Isaka akakiita kisima hicho Eseki, kwa sababu waligombana naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 wachungaji wa hapo Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaka wakisema, “Maji haya ni yetu.” Hivyo Isaka akakiita kisima hicho Eseki, kwa sababu waligombana naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Lakini wachungaji wa Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaka wakisema, “Maji haya ni yetu!” Ndipo akakiita kile kisima Eseki, kwa sababu waligombana naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Lakini wachungaji wa Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaka wakisema, “Maji haya ni yetu!” Ndipo akakiita kile kisima Eseki, kwa sababu waligombana naye.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Wachungaji wa Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaka wakisema, Maji haya ni yetu. Ndipo akakiita jina la kile kisima Eseki, kwa sababu waligombana naye.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 26:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kukawako ugomvi kati ya wachunga wanyama wa Abramu, na wachunga wanyama wa Lutu; na siku zile Wakanaani na Waperizi walikuwa wakikaa katika nchi.


Kisha Abrahamu akamlaumu Abimeleki kwa sababu ya kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamemnyang'anya.


Watumwa wa Isaka wakachimba katika lile bonde, wakapata kisima cha maji yanayobubujika.


Wakachimba kisima kingine, wakagombania na hicho tena. Akakiita jina lake Sitna.


Semeni, Watumishi wako tumekuwa wachunga wanyama tangu ujana wetu, na hata leo, sisi, na baba zetu; mpate kukaa katika nchi ya Gosheni; maana kila mchunga wanyama ni chukizo kwa Wamisri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo