Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 26:21 - Swahili Revised Union Version

21 Wakachimba kisima kingine, wakagombania na hicho tena. Akakiita jina lake Sitna.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Halafu wakachimba kisima kingine, nacho pia wakakigombania; hivyo Isaka akakiita kisima hicho Sitna.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Halafu wakachimba kisima kingine, nacho pia wakakigombania; hivyo Isaka akakiita kisima hicho Sitna.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Halafu wakachimba kisima kingine, nacho pia wakakigombania; hivyo Isaka akakiita kisima hicho Sitna.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kisha wakachimba kisima kingine, lakini hata hicho pia wakakigombania; akakiita Sitna.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kisha wakachimba kisima kingine, lakini hata hicho pia wakakigombania, akakiita Sitna.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Wakachimba kisima kingine, wakagombania na hicho tena. Akakiita jina lake Sitna.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 26:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Abrahamu akamlaumu Abimeleki kwa sababu ya kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamemnyang'anya.


Wachungaji wa Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaka wakisema, Maji haya ni yetu. Ndipo akakiita jina la kile kisima Eseki, kwa sababu waligombana naye.


Akaondoka huko akachimba kisima kingine, wala hicho hawakukigombania. Akakiita jina lake Rehobothi, akasema, Kwa kuwa sasa BWANA ametufanyia nafasi, nasi tutazidi katika nchi.


Tena, wakati wa kutawala kwake Ahasuero, mwanzo wa kutawala kwake, watu wakaandika mashitaka juu ya wenyeji wa Yuda na Yerusalemu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo