Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 26:15 - Swahili Revised Union Version

15 Na vile visima vyote walivyochimba watumwa wa baba yake, siku za Abrahamu babaye, Wafilisti walikuwa wamevifukia, wakavijaza udongo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Wafilisti walikuwa wamevifukia visima vyote vya maji ambavyo watumishi wa Abrahamu, baba yake, walikuwa wamechimba wakati alipokuwa bado hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Wafilisti walikuwa wamevifukia visima vyote vya maji ambavyo watumishi wa Abrahamu, baba yake, walikuwa wamechimba wakati alipokuwa bado hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Wafilisti walikuwa wamevifukia visima vyote vya maji ambavyo watumishi wa Abrahamu, baba yake, walikuwa wamechimba wakati alipokuwa bado hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kwa hiyo visima vyote vilivyochimbwa na watumishi wakati wa Ibrahimu baba yake, Wafilisti wakavifukia, wakavijaza udongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kwa hiyo visima vyote vilivyochimbwa na watumishi wakati wa Ibrahimu baba yake, Wafilisti wakavifukia, wakavijaza udongo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Na vile visima vyote walivyochimba watumwa wa baba yake, siku za Abrahamu babaye, Wafilisti walikuwa wamevifukia, wakavijaza udongo.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 26:15
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Abrahamu akamlaumu Abimeleki kwa sababu ya kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamemnyang'anya.


Akasema, Hawa wana-kondoo saba majike utawapokea mkononi mwangu, wawe ushuhuda ya kuwa ni mimi niliyekichimba kisima hiki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo