Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 24:4 - Swahili Revised Union Version

4 bali nenda hata nchi yangu, na kwa jamaa zangu, ukamtwalie mwanangu Isaka mke.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Niapie kwamba utakwenda mpaka katika nchi yangu, kwa jamaa zangu, umtafutie mwanangu Isaka mke.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Niapie kwamba utakwenda mpaka katika nchi yangu, kwa jamaa zangu, umtafutie mwanangu Isaka mke.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Niapie kwamba utakwenda mpaka katika nchi yangu, kwa jamaa zangu, umtafutie mwanangu Isaka mke.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Bali nenda katika nchi yangu na jamaa zangu umpatie Isaka mwanangu mke.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 bali utakwenda katika nchi yangu na jamaa zangu umpatie Isaka mwanangu mke.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 bali nenda hata nchi yangu, na kwa jamaa zangu, ukamtwalie mwanangu Isaka mke.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 24:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nahori akaishi baada ya kumzaa Tera miaka mia moja na kumi na tisa, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonesha;


BWANA akamtokea Abramu, akasema, Uzao wako nitawapa nchi hii. Naye akamjengea BWANA madhabahu huko alikomtokea.


Ila uende mpaka nyumbani kwa babangu, na kwa jamaa zangu, ukamtwalie mwanangu mke.


Yule mtumishi akamwambia, Labda yule mwanamke hatakubali kufuatana nami mpaka nchi hii, je! Nimrudishe mwanao mpaka nchi ulikotoka?


Basi Isaka akamwita Yakobo, akambariki, akamwagiza akamwambia, Usitwae mke wa binti za Kanaani.


Ondoka, uende Padan-aramu, mpaka nyumba ya Bethueli baba ya mama yako, ukajitwalie huko mke katika binti za Labani, ndugu wa mama yako.


Yehoyada akamwoza wake wawili, naye akazaa watoto wa kiume na wa kike.


Na kama wangaliikumbuka nchi ile waliyotoka, wangalipata nafasi ya kurudi.


Ndipo baba yake na mama yake wakamwambia, Je! Hapana mwanamke hata mmoja katika ndugu zako, au katika jamaa zangu wote, hata uende kumuoa mwanamke kwa hawa Wafilisti wasiotahiriwa? Samsoni akamwambia baba yake; Mniruhusu nimuoe huyo, kwa maana ananipendeza sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo