Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 24:13 - Swahili Revised Union Version

13 Tazama! Nimesimama karibu na kisima cha maji, na binti za watu wa mjini wanatoka kuteka maji,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Niko hapa kando ya kisima ambapo binti za wenyeji wa mji huja kuteka maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Niko hapa kando ya kisima ambapo binti za wenyeji wa mji huja kuteka maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Niko hapa kando ya kisima ambapo binti za wenyeji wa mji huja kuteka maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Tazama, nimesimama karibu na kisima hiki cha maji, nao binti za watu wa mji huu wanakuja kuteka maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Tazama, nimesimama karibu na kisima hiki cha maji, nao binti za watu wa mji huu wanakuja kuteka maji.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Tazama! Nimesimama karibu na kisima cha maji, na binti za watu wa mjini wanatoka kuteka maji,

Tazama sura Nakili




Mwanzo 24:13
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akawapigisha magoti ngamia nje ya mji karibu na kisima cha maji wakati wa jioni, wakati ambapo wanawake wanakwenda kuteka maji.


basi na iwe hivi; yule msichana nitakayemwambia, Tua mtungi wako, nakuomba, ninywe; naye akasema, Unywe, nami nitawanywesha na ngamia zako pia; basi huyu na awe ndiye uliyemchagulia mtumishi wako Isaka; na kwa hayo nitajua ya kuwa umemfadhili bwana wangu.


tazama! Nimesimama karibu na kisima cha maji; basi na iwe hivi, msichana ajaye kuteka maji, nikamwambia, Nipe, nakuomba, maji kidogo katika mtungi wako ninywe,


Umkabidhi BWANA njia yako, Pia umtumainie, naye atakutendea.


Basi kuhani wa Midiani alikuwa na binti saba, nao wakaja wakateka maji, wakazijaza birika maji, wapate kunywesha kundi la baba yao.


Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako.


Akaja mwanamke Msamaria kuteka maji. Yesu akamwambia, Nipe maji ninywe.


Mbali na kelele za hao wapigao mishale, katika mahali pa kuteka maji, Hapo watatangaza matendo ya haki ya BWANA; Naam, matendo ya haki ya kutawala kwake katika Israeli. Ndipo watu wa BWANA waliposhuka malangoni.


Walipokuwa wakikwea mjini, wakakutana na wasichana, waliokuwa wakienda kuteka maji; wakawaambia, Je! Mwonaji yuko?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo