Mwanzo 24:12 - Swahili Revised Union Version12 Naye akasema, Ee BWANA, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, nakuomba mambo yangu uyajalie yawe heri leo, ukamfadhili bwana wangu Abrahamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Naye akaomba, “Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, nakuomba unijalie nifaulu leo na umfadhili Abrahamu bwana wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Naye akaomba, “Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, nakuomba unijalie nifaulu leo na umfadhili Abrahamu bwana wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Naye akaomba, “Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, nakuomba unijalie nifaulu leo na umfadhili Abrahamu bwana wangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Kisha akaomba, “Ee Mwenyezi Mungu, Mungu wa bwana wangu Ibrahimu, nipatie ushindi leo, uoneshe ukarimu kwa bwana wangu Ibrahimu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kisha akaomba, “Ee bwana, Mungu wa bwana wangu Ibrahimu, nipatie ushindi leo, uonyeshe huruma kwa bwana wangu Ibrahimu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Naye akasema, Ee BWANA, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, nakuomba mambo yangu uyajalie yawe heri leo, ukamfadhili bwana wangu Abrahamu. Tazama sura |