Mwanzo 18:15 - Swahili Revised Union Version15 Akakana Sara, akisema, Sikucheka, maana aliogopa. Naye akasema, Sivyo! Umecheka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Lakini Sara, akiwa na hofu, akakana akisema, “Sikucheka!” Mwenyezi-Mungu akamwambia, “Sivyo! Kucheka, ulicheka.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Lakini Sara, akiwa na hofu, akakana akisema, “Sikucheka!” Mwenyezi-Mungu akamwambia, “Sivyo! Kucheka, ulicheka.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Lakini Sara, akiwa na hofu, akakana akisema, “Sikucheka!” Mwenyezi-Mungu akamwambia, “Sivyo! Kucheka, ulicheka.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Sara akaogopa, hivyo akadanganya na kusema, “Mimi sikucheka.” Lakini Mwenyezi Mungu akasema, “Ndiyo, ulicheka!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Sara akaogopa kwa kuwa alidanganya na kusema, “Mimi sikucheka.” Lakini Bwana akasema, “Ndiyo, ulicheka!” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Sara akakana, akisema, Sikucheka, maana aliogopa. Naye akasema, Sivyo! Umecheka. Tazama sura |