Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 15:11 - Swahili Revised Union Version

11 Na tai walipotua juu ya mizoga Abramu akawafukuza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Na tai walipoijia hiyo mizoga, Abramu akawa anawafukuza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Na tai walipoijia hiyo mizoga, Abramu akawa anawafukuza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Na tai walipoijia hiyo mizoga, Abramu akawa anawafukuza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Kisha ndege walao nyama wakatua juu ya mizoga, lakini Abramu akawafukuza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kisha ndege walao nyama wakatua juu ya mizoga, lakini Abramu akawafukuza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Na tai walipotua juu ya mizoga Abramu akawafukuza.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 15:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akampatia hao wote, akawapasua vipande viwili, akaweka kila kipande kuelekea mwenzake, ila ndege hakuwapasua.


Na jua lilipokuwa likichwa usingizi mzito ulimshika Abramu, hofu ya giza kuu ikamwangukia.


Kwa midomo yangu nimezisimulia Hukumu zote za kinywa chako.


useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tai mkubwa, mwenye mabawa makubwa na manyoya marefu katika mabawa, mwenye kujaa manyoya, yaliyo ya rangi mbalimbali, alifika Lebanoni, akakitwaa kilele cha mwerezi;


Kulikuwa na tai mwingine mkubwa, mwenye mabawa makubwa na manyoya mengi; na tazama, mzabibu huo ukapinda mizizi yake imwelekee yeye, ukachipuza matawi yake yamwelekee yeye, toka matuta yake ulipopandwa; ili yeye apate kuunywesha.


Na alipokuwa akipanda, mbegu nyingine zilianguka karibu na njia, ndege wakaja wakazila;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo