Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 4:3 - Swahili Revised Union Version

3 naam, zaidi ya hao wote nikamwita heri yeye asiyekuwako bado, ambaye hakuyaona mabaya yanayotendeka chini ya jua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Lakini ana heri zaidi kuliko wafu na walio hai, yule ambaye bado hajazaliwa na kuona maovu yote yanayotendwa hapa duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Lakini ana heri zaidi kuliko wafu na walio hai, yule ambaye bado hajazaliwa na kuona maovu yote yanayotendwa hapa duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Lakini ana heri zaidi kuliko wafu na walio hai, yule ambaye bado hajazaliwa na kuona maovu yote yanayotendwa hapa duniani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Lakini aliye bora kuliko hao wawili ni yule ambaye hajazaliwa bado, ambaye hajaona ule uovu unaofanyika chini ya jua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Lakini aliye bora kuliko hao wawili ni yule ambaye hajazaliwa bado, ambaye hajaona ule uovu unaofanyika chini ya jua.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 naam, zaidi ya hao wote nikamwita heri yeye asiyekuwako bado, ambaye hakuyaona mabaya yanayotendeka chini ya jua.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 4:3
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ambao wafurahi mno, Na kushangilia watakapoliona kaburi?


Nimeziona kazi zote zifanywazo chini ya jua; na, tazama, mambo yote ni ubatili na kufukuza upepo.


Basi, nikauchukia uhai; kwa sababu kazi inayotendeka chini ya jua ilikuwa mbaya kwangu; yaani, mambo yote ni ubatili na kufukuza upepo.


Ole wao wenye mimba na wanyonyeshao siku hizo!


Kwa maana tazama, siku zitakuja watakaposema, Heri walio tasa, na matumbo yasiyozaa, na maziwa yasiyonyonyesha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo