Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 4:2 - Swahili Revised Union Version

2 Kwa hiyo nikawasifu wafu waliokwisha kufa kuliko wenye uhai walio hai bado;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Basi, nikafikiri moyoni kuwa wafu waliokwenda wasikorudi, wana nafuu zaidi kuliko watu walio hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Basi, nikafikiri moyoni kuwa wafu waliokwenda wasikorudi, wana nafuu zaidi kuliko watu walio hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Basi, nikafikiri moyoni kuwa wafu waliokwenda wasikorudi, wana nafuu zaidi kuliko watu walio hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Nami nikasema kwamba wafu, waliokwisha kufa, wana furaha kuliko watu walio hai, ambao bado wanaishi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Nami nikasema kwamba wafu, waliokwisha kufa, wana furaha kuliko watu walio hai, ambao bado wanaishi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Kwa hiyo nikawasifu wafu waliokwisha kufa kuliko wenye uhai walio hai bado;

Tazama sura Nakili




Mhubiri 4:2
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, nikauchukia uhai; kwa sababu kazi inayotendeka chini ya jua ilikuwa mbaya kwangu; yaani, mambo yote ni ubatili na kufukuza upepo.


Heri sifa njema kuliko manukato ya thamani; Na siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa.


Msimlilie aliyekufa, wala msimwombolezee, Bali mlilieni huyo aendaye zake mbali; Kwa maana yeye hatarudi tena, Wala hataiona nchi aliyozaliwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo