Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 6:31 - Swahili Revised Union Version

31 Lakini akipatikana, atalipa mara saba; Atatoa mali yote ya nyumba yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 lakini akipatikana lazima alipe mara saba; tena atatoa mali yote aliyo nayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 lakini akipatikana lazima alipe mara saba; tena atatoa mali yote aliyo nayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 lakini akipatikana lazima alipe mara saba; tena atatoa mali yote aliyo nayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Lakini akikamatwa, lazima alipe mara saba, ingawa inamgharimu utajiri wote wa nyumba yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Pamoja na hayo, kama akikamatwa, lazima alipe mara saba, ingawa inamgharimu utajiri wote wa nyumba yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Lakini akipatikana, atalipa mara saba; Atatoa mali yote ya nyumba yake.

Tazama sura Nakili




Methali 6:31
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia, Kwa sababu hiyo yeyote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. BWANA akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga.


naye atamrudishia yule mwana-kondoo mara nne, kwa sababu ametenda neno hili, na kwa sababu hakuwa na huruma.


Aliyoyataabikia kazi atayarudisha, asiyameze; Kwa mali aliyoyapata, hatafurahi.


Uwalipe jirani zetu mara saba vifuani mwao Laumu zao walizokulaumu, Ee Bwana.


mwenye shimo atalipa; atampa huyo mwenye mnyama fedha, na mnyama aliyekufa atakuwa ni wake.


Naye alipokosa cha kulipa, bwana wake akaamuru auzwe, yeye na mkewe na watoto wake, na vitu vyote alivyokuwa navyo, ikalipwe ile deni.


Zakayo akasimama, akamwambia Bwana, Tazama, Bwana, nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimenyang'anya mtu kitu kwa hila namrudishia mara nne.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo