Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 24:25 - Swahili Revised Union Version

25 Bali kwao wakemeao furaha itakuwako; Na baraka ya kufanikiwa itawajilia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Lakini wanaowaadhibu waovu watapata furaha, na baraka njema zitawajia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Lakini wanaowaadhibu waovu watapata furaha, na baraka njema zitawajia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Lakini wanaowaadhibu waovu watapata furaha, na baraka njema zitawajia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Bali itakuwa vyema kwa wale watakaowatia hatiani wenye hatia, nazo baraka tele zitawajilia juu yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Bali itakuwa vyema kwa wale watakaowatia hatiani wenye hatia, nazo baraka tele zitawajilia juu yao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Bali kwao wakemeao furaha itakuwako; Na baraka ya kufanikiwa itawajilia.

Tazama sura Nakili




Methali 24:25
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo nikagombana na wakuu wa Yuda, nikawaambia, Ni neno baya gani hili mnalofanya ninyi, na kuinajisi siku ya sabato?


Nikagombana nao, nikawalaani, nikawapiga baadhi yao, na kuwang'oa nywele zao; nikawaapisha kwa Mungu, nikasema, Msiwaoze wana wao binti zenu, wala msiwatwae binti zao ili waolewe na wana wenu, wala na ninyi wenyewe.


Na mwana mmoja wa Yoyada, mwana wa Eliashibu, kuhani mkuu, alikuwa mkwewe Sanbalati, Mhoroni, basi nikamfukuza kwangu.


Aibusu midomo atoaye jawabu la haki.


Amkemeaye mwenzake hatimaye atapata kibali; Zaidi ya mtu ajipendekezaye kwa ulimi wake.


Usimchukie ndugu yako moyoni mwako; ni lazima kumkemea jirani yako, au ulipizwe uovu kwa ajili yake


Kwa sababu Yohana alimwambia, Si halali kwako kuwa naye.


Wale wadumuo kutenda dhambi uwakemee mbele ya wote, ili na wengine waogope.


lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.


Ushuhuda huo ni kweli. Kwa sababu hiyo uwakemee kwa ukali, ili wapate kuwa wazima katika imani;


Nena mambo hayo, onya na kukaripia kwa mamlaka yote; asikudharau mtu awaye yote.


Kwa maana nimemwambia ya kwamba nitaihukumu nyumba yake milele, kwa ajili ya ule uovu alioujua; kwa kuwa wanawe walijiletea laana, wala yeye hakuwazuia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo