Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 20:11 - Swahili Revised Union Version

11 Hata mtoto hujijulisha kwa matendo yake; Kwamba kazi yake ni safi, kwamba ni adili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, kama tabia yake ni njema na aminifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, kama tabia yake ni njema na aminifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, kama tabia yake ni njema na aminifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, kama tabia yake ni safi na adili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, kama tabia yake ni safi na adili.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Hata mtoto hujijulisha kwa matendo yake; Kwamba kazi yake ni safi, kwamba ni adili.

Tazama sura Nakili




Methali 20:11
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa katika mwaka wa nane wa kutawala kwake, naye akiwa bado mchanga, alianza kumtafuta Mungu wa Daudi babaye; hata katika mwaka wa kumi na mbili akaanza kusafisha Yuda na Yerusalemu kwa kuondoa mahali pa juu, na kwa kuondoa Maashera, na sanamu za kuchonga, na za kusubu.


Tazama, nikazaliwa nikiwa na hatia; Mama yangu akanichukua mimba nikiwa na dhambi.


Waovu hupotoka hata kabla ya kuzaliwa kwao; Tangu tumboni wamepotea, wakisema uongo.


Sikio lisikialo, na jicho lionalo, BWANA ndiye aliyeyafanya yote mawili.


Njia yake aliyelemewa na dhambi imepotoka sana; Bali mtu aliye safi, kazi yake ni sawasawa.


Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.


Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?


Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.


Na wote walioyasikia wakayaweka mioyoni mwao, wakisema, Mtoto huyu atakuwa wa namna gani? Kwa sababu mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo