Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 18:18 - Swahili Revised Union Version

18 Kura hukomesha mashindano; Hukata maneno ya wakuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kura hukomesha ubishi; huamua kati ya wakuu wanaopingana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kura hukomesha ubishi; huamua kati ya wakuu wanaopingana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kura hukomesha ubishi; huamua kati ya wakuu wanaopingana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kupiga kura hukomesha mashindano na kutenganisha wapinzani wakuu wanaopingana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kupiga kura hukomesha mashindano na kutenganisha wapinzani wakuu wanaopingana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Kura hukomesha mashindano; Hukata maneno ya wakuu.

Tazama sura Nakili




Methali 18:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hao nao wakapigiwa kura vile vile, kama ndugu zao wana wa Haruni, machoni pa Daudi mfalme, na Sadoki, na Ahimeleki, na wakuu wa koo za baba za makuhani na za Walawi; koo za baba za mkuu, vile vile kama za nduguye mdogo.


Na wana wa Merari walipewa kwa kura miji kumi na miwili, kulingana na jamaa zao, katika kabila la Reubeni, na katika kabila la Gadi, na katika kabila la Zabuloni.


Basi, viongozi wa watu walikuwa wakikaa Yerusalemu; nao watu waliosalia wakapiga kura, ili katika watu kumi kumleta mmoja akae ndani ya Yerusalemu mji mtakatifu, na wale tisa wakae mijini.


Kura hutupwa katika mikunjo ya nguo; Lakini hukumu zake zote ni za BWANA.


Ajiteteaye kwanza huonekana kuwa ana haki; Lakini jirani yake huja na kumchunguza.


Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuliko mji wa nguvu; Na mashindano ni kama mapingo ya ngome.


kwa kufuata hiyo kura ya urithi wao, vile vile kama BWANA alivyoamuru kwa mkono wa Musa, kwa ajili ya hayo makabila tisa, na hiyo nusu ya kabila.


Kwa hiyo Sauli akamwambia BWANA, Mungu wa Israeli, [Kwa nini usimjibu mtumishi wako leo? Ikiwa dhambi iko ndani yangu, au ndani yake Yonathani mwanangu, Ee BWANA, Mungu wa Israeli, utoe Urimu; bali ukisema hivi, Dhambi iko katika watu wako Israeli,] utoe Thumimu. Basi Yonathani na Sauli wakatwaliwa, lakini watu wakapona.


Basi Sauli akasema, Sasa piga kati ya mimi na mwanangu Yonathani, [yeyote ambaye BWANA atamtwaa, atakufa. Nao watu wakamwambia Sauli, La! Sivyo hivyo; lakini Sauli akawaweza watu. Nao wakapiga kati ya yeye na mwanawe Yonathani,] naye Yonathani akatwaliwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo