Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 17:4 - Swahili Revised Union Version

4 Mtenda mabaya husikiliza midomo ya uovu; Na mwongo hutega sikio lake kusikiliza ulimi wa madhara.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mtenda maovu husikiliza maneno mabaya, mwongo hutegea sikio ulimi mdanganyifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mtenda maovu husikiliza maneno mabaya, mwongo hutegea sikio ulimi mdanganyifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mtenda maovu husikiliza maneno mabaya, mwongo hutegea sikio ulimi mdanganyifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Mtu mwovu husikiliza midomo mibaya; mwongo husikiliza kwa makini ulimi wa madhara.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Mtu mwovu husikiliza midomo mibaya; mwongo husikiliza kwa makini ulimi wa madhara.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Mtenda mabaya husikiliza midomo ya uovu; Na mwongo hutega sikio lake kusikiliza ulimi wa madhara.

Tazama sura Nakili




Methali 17:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu amenitia kwa hao wapotovu, Na kunitupa mikononi mwao waovu.


Mjinga huamini kila neno; Bali mwenye busara huangalia sana aendavyo.


Wao waiachao sheria huwasifu waovu; Bali wao waishikao hushindana nao.


wawaambiao waonaji, Msione; na manabii, Msitoe unabii wa mambo ya haki, tuambieni maneno laini, hubirini maneno yadanganyayo;


Manabii wanatabiri uongo, na makuhani wanatawala kwa msaada wa hao; na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo. Nanyi mtafanya nini mwisho wake?


Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo