Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 15:30 - Swahili Revised Union Version

30 Mng'ao wa macho huufurahisha moyo; Habari njema huinenepesha mifupa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Macho ya huruma hufurahisha moyo, habari njema huuburudisha mwili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Macho ya huruma hufurahisha moyo, habari njema huuburudisha mwili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Macho ya huruma hufurahisha moyo, habari njema huuburudisha mwili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Mtazamo wa tabasamu huleta furaha moyoni, nazo habari njema huipa mifupa afya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Mtazamo wa tabasamu huleta furaha moyoni, nazo habari njema huipa mifupa afya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Mng'ao wa macho huufurahisha moyo; Habari njema huinenepesha mifupa.

Tazama sura Nakili




Methali 15:30
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na sasa kwa muda kidogo tumeneemeshwa na BWANA, Mungu wetu, hata akatuachia mabaki yaokoke, akatupa msumari katika mahali pake patakatifu. Mungu wetu atutie nuru machoni mwetu, tuburudike kidogo katika kufungwa kwetu.


Heri watu wale waijuao sauti ya shangwe, Ee BWANA, waendao, katika nuru ya uso wako.


Uzito katika moyo wa mtu huuinamisha; Bali neno jema huufurahisha.


Nuru ya mwenye haki yang'aa sana; Bali taa ya mtu mbaya itazimika.


BWANA yuko mbali na wasio haki; Bali huisikia sala ya mwenye haki.


Sikio lisikilizalo lawama yenye uhai Litakaa kati yao wenye hekima.


Moyo uliochangamka ni dawa nzuri; Bali roho iliyopondeka huikausha mifupa.


Kama vile maji ya baridi kwa mtu mwenye kiu, Ndivyo ilivyo habari njema itokayo katika nchi ya mbali.


Itakuwa afya mwilini pako, Na mafuta mifupani mwako.


Kweli nuru ni tamu, tena ni jambo la kupendeza macho kutazama jua.


Naye BWANA atakuongoza daima, ataishibisha nafsi yako mahali pasipokuwa na maji, na kuitia nguvu mifupa yako; nawe utakuwa kama bustani iliyotiwa maji, na kama chemchemi ambayo maji yake hayapungui.


Na mji ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza, kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru, na taa yake ni Mwana-kondoo.


Wala hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja ya taa wala ya nuru ya jua; kwa kuwa Bwana Mungu huwatia nuru, nao watatawala hata milele na milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo