Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 13:23 - Swahili Revised Union Version

23 Chakula kingi chapatikana kwa ukulima wa maskini; Bali viko viharibiwavyo kwa sababu ya dhuluma.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Shamba la maskini hutoa mazao mengi, lakini bila haki hunyakuliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Shamba la maskini hutoa mazao mengi, lakini bila haki hunyakuliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Shamba la maskini hutoa mazao mengi, lakini bila haki hunyakuliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Shamba la mtu maskini laweza kuzalisha chakula kingi, bali dhuluma hukifutilia mbali.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Shamba la mtu maskini laweza kuzalisha chakula kingi, bali dhuluma hukifutilia mbali.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Chakula kingi chapatikana kwa ukulima wa maskini; Bali viko viharibiwavyo kwa sababu ya dhuluma.

Tazama sura Nakili




Methali 13:23
12 Marejeleo ya Msalaba  

Heri atendaye fadhili na kukopesha; Atengenezaye mambo yake kwa haki.


Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi hana ufahamu.


Mtu atashiba mema kwa matunda ya kinywa chake; Na atarudishiwa matendo ya mikono yake.


Yeye autunzaye mtini atakula matunda yake; Naye amhudumiaye bwana wake ataheshimiwa.


Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi atapata umaskini wa kumtosha.


Lakini, pamoja na hayo, manufaa ya nchi kwa kila njia ni mfalme anayejibidiisha kwa ajili ya shamba.


wazee wa mji huo na wamshushe yule mtamba mpaka bonde lenye maji ya mtoni, lisilolimwa wala kupandwa, wakamvunje yule mtamba shingo yake humo bondeni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo