Methali 11:11 - Swahili Revised Union Version11 Mji hutukuzwa kwa mbaraka wa mwenye haki; Bali mji hupinduliwa kwa kinywa cha mwovu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Mji hufanikishwa kwa baraka za wanyofu, lakini huangamizwa kwa mdomo wa waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Mji hufanikishwa kwa baraka za wanyofu, lakini huangamizwa kwa mdomo wa waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Mji hufanikishwa kwa baraka za wanyofu, lakini huangamizwa kwa mdomo wa waovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kutokana na baraka ya mtu mnyofu mji hukwezwa, bali kwa kinywa cha mwovu mji huharibiwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kutokana na baraka ya mtu mnyofu mji hukwezwa, bali kwa kinywa cha mwovu mji huharibiwa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Mji hutukuzwa kwa mbaraka wa mwenye haki; Bali mji hupinduliwa kwa kinywa cha mwovu. Tazama sura |