Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:11 - Swahili Revised Union Version

11 Mji hutukuzwa kwa mbaraka wa mwenye haki; Bali mji hupinduliwa kwa kinywa cha mwovu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Mji hufanikishwa kwa baraka za wanyofu, lakini huangamizwa kwa mdomo wa waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Mji hufanikishwa kwa baraka za wanyofu, lakini huangamizwa kwa mdomo wa waovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Mji hufanikishwa kwa baraka za wanyofu, lakini huangamizwa kwa mdomo wa waovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Kutokana na baraka ya mtu mnyofu mji hukwezwa, bali kwa kinywa cha mwovu mji huharibiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kutokana na baraka ya mtu mnyofu mji hukwezwa, bali kwa kinywa cha mwovu mji huharibiwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Mji hutukuzwa kwa mbaraka wa mwenye haki; Bali mji hupinduliwa kwa kinywa cha mwovu.

Tazama sura Nakili




Methali 11:11
14 Marejeleo ya Msalaba  

Basi si ninyi mlionileta huku, ila Mungu; naye ameniweka kama baba kwa Farao, na bwana katika nyumba yake yote, na mtawala katika nchi yote ya Misri.


Basi ilitukia ya kwamba kulikuwapo mtu asiyefaa, jina lake akiitwa Sheba, mwana wa Bikri, Mbenyamini; naye akapiga tarumbeta, akasema, Sisi hatuna sehemu katika Daudi, wala hatuna urithi katika mwana wa Yese; nendeni kila mtu hemani kwake, enyi Israeli.


Atamwokoa na huyo asiye na hatia; Naam, utaokolewa kwa sababu ya usafi wa mikono yako.


Wenye haki wasitawipo, mji hufurahi; Waovu wanapoangamia, watu hushangilia.


Asiye na akili humdharau mwenziwe; Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza.


Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wowote.


Kwa sababu ya maasi ya nchi wakuu wake huwa wengi; Bali kwa wenye ufahamu na maarifa hali ya nchi hudumishwa


Watu wenye dharau huwasha mji moto; Bali wenye hekima hugeuzia mbali ghadhabu.


Basi, kulikuwemo na mtu maskini mwenye hekima, naye kwa hekima yake akauokoa mji ule lakini hata hivyo hapakuwa na mtu yeyote aliyemkumbuka yule mtu maskini.


Nao ulimi ni moto; ule ulimwengu wa uovu, ule ulimi, umewekwa katika viungo vyetu, nao ndio uutiao mwili wote unajisi, huuwasha moto mfululizo wa maumbile, nao huwashwa moto na Jehanamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo