Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 27:8 - Swahili Revised Union Version

8 Kwa hiyo shamba lile huitwa shamba la damu hata leo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Ndio maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Ndio maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Ndio maana mpaka leo shamba hilo linaitwa Shamba la Damu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Hii ndiyo sababu lile shamba likaitwa Shamba la Damu hadi leo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Hii ndiyo sababu lile shamba likaitwa Shamba la Damu hadi leo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Kwa hiyo shamba lile huitwa shamba la damu hata leo.

Tazama sura Nakili




Mathayo 27:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na ile miti ilikuwa mirefu, hata ncha za miti zilionekana sandukuni mbele ya chumba cha ndani, lakini hazikuonekana nje; nayo iko kuko huko hata leo.


Wakafanya shauri, wakavitumia kwa kununua shamba la mfinyanzi liwe mahali pa kuzika wageni.


Basi wakazitwaa zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Na neno hilo likaenea kati ya Wayahudi hata leo.


Ikajulikana na watu wote wakaao Yerusalemu; hata shamba lile likaitwa kwa lugha yao Akeldama, maana yake, shamba la damu.)


Akamzika bondeni, katika nchi ya Moabu, kukabili Beth-peori; lakini hapana mtu ajuaye kaburi lake hata leo.


Kisha Yoshua akapanga mawe kumi na mawili katikati ya Yordani, mahali pale miguu ya hao makuhani waliolichukua hilo sanduku la Agano iliposimama; nayo yapo pale pale hata hivi leo.


Huyo mtu akaenda katika nchi ya Wahiti, akajenga mji, akaliita jina la huo mji Luzu; nalo ndilo jina lake hata hivi leo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo