Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 25:18 - Swahili Revised Union Version

18 Lakini yule aliyepokea moja alikwenda akafukua chini, akaificha fedha ya bwana wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Lakini yule aliyekabidhiwa fedha talanta moja akaenda, akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Lakini yule aliyekabidhiwa fedha talanta moja akaenda, akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Lakini yule aliyekabidhiwa fedha talanta moja akaenda, akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Lakini yule mtumishi aliyekuwa amepokea talanta moja, alienda akachimba shimo ardhini na kuificha ile talanta ya bwana wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Lakini yule mtumishi aliyekuwa amepokea talanta moja, alikwenda akachimba shimo ardhini na kuificha ile fedha ya bwana wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Lakini yule aliyepokea moja alikwenda akafukua chini, akaificha fedha ya bwana wake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye naye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharibifu.


Laiti angekuwapo kwenu mtu mmoja wa kuifunga milango; msije mkawasha moto bure madhabahuni pangu! Sina furaha kwenu, asema BWANA wa majeshi, wala sitakubali dhabihu yoyote mikononi mwenu.


Vile vile na yule mwenye mbili, yeye naye akachuma nyingine mbili faida.


Baada ya siku nyingi akaja bwana wa watumwa wale, akafanya hesabu nao.


Akaja mwingine akasema, Bwana, hili ndilo fungu lako, ambalo nililiweka salama katika kitambaa.


ili msiwe wavivu, bali mkawe kama hao wazirithio ahadi kwa imani na uvumilivu.


Maana mambo hayo yakiwa kwenu na kujaa tele, yawafanya ninyi kuwa si wavivu wala si watu wasio na matunda, kwa kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo