Mathayo 25:18 - Swahili Revised Union Version18 Lakini yule aliyepokea moja alikwenda akafukua chini, akaificha fedha ya bwana wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Lakini yule aliyekabidhiwa fedha talanta moja akaenda, akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Lakini yule aliyekabidhiwa fedha talanta moja akaenda, akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Lakini yule aliyekabidhiwa fedha talanta moja akaenda, akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Lakini yule mtumishi aliyekuwa amepokea talanta moja, alienda akachimba shimo ardhini na kuificha ile talanta ya bwana wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Lakini yule mtumishi aliyekuwa amepokea talanta moja, alikwenda akachimba shimo ardhini na kuificha ile fedha ya bwana wake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Lakini yule aliyepokea moja alikwenda akafukua chini, akaificha fedha ya bwana wake. Tazama sura |