Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 25:17 - Swahili Revised Union Version

17 Vile vile na yule mwenye mbili, yeye naye akachuma nyingine mbili faida.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Hali kadhalika na yule aliyekabidhiwa talanta mbili akapata faida talanta mbili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Hali kadhalika na yule aliyekabidhiwa talanta mbili akapata faida talanta mbili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Hali kadhalika na yule aliyekabidhiwa talanta mbili akapata faida talanta mbili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Yule aliyepewa talanta mbili akafanya vivyo hivyo, akapata nyingine mbili zaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Yule aliyepewa talanta mbili akafanya vivyo hivyo, akapata nyingine mbili zaidi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Vile vile na yule mwenye mbili, yeye naye akachuma nyingine mbili faida.

Tazama sura Nakili




Mathayo 25:17
23 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana nimemchagua ili awaamuru wanawe na vizazi vyake baada yake wadumishe njia ya BWANA, kwa kuwa wenye haki na kweli, ili BWANA naye akamtimizie Abrahamu ahadi zake.


Naye huyo Barzilai alikuwa mzee sana, alikuwa na umri wa miaka themanini; naye amemlisha mfalme hapo alipokuwapo Mahanaimu; kwa kuwa alikuwa mtu mwenye cheo kikubwa.


Mara yule aliyepokea talanta tano akaenda, akafanya biashara nazo, akachuma faida talanta nyingine tano.


Lakini yule aliyepokea moja alikwenda akafukua chini, akaificha fedha ya bwana wake.


mtu mtauwa, mchaji wa Mungu, yeye na nyumba yake yote, naye alikuwa akiwapa watu sadaka nyingi, na kumwomba Mungu daima.


Maana, kama nia ipo, hukubaliwa kwa kadiri ya alivyo navyo mtu, si kwa kadiri ya asivyo navyo.


mkiukomboa wakati kwa maana nyakati hizi ni za uovu.


Mwambieni Arkipo, Iangalie sana huduma ile uliyopewa katika Bwana, ili uitimize.


na awe ameshuhudiwa kwa matendo mema; katika kulea watoto, kuwa mkaribishaji, kuwaosha watakatifu miguu, kuwasaidia wateswao, na kujitolea kutenda wema katika hali zote.


kila mmoja kwa kadiri alivyoipokea karama, itumieni kwa kuhudumiana; kama mawakili wema wa neema mbalimbali za Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo