Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 22:45 - Swahili Revised Union Version

45 Basi, Daudi akimwita Bwana, amekuwaje ni mwanawe?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

45 Basi, ikiwa Daudi anamwita Kristo ‘Bwana,’ anawezaje kuwa mwanawe?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

45 Basi, ikiwa Daudi anamwita Kristo ‘Bwana,’ anawezaje kuwa mwanawe?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

45 Basi, ikiwa Daudi anamwita Kristo ‘Bwana,’ anawezaje kuwa mwanawe?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

45 Kama basi Daudi anamwita yeye ‘Bwana,’ awezaje kuwa mwanawe?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

45 Kama basi Daudi anamwita yeye ‘Bwana,’ awezaje kuwa mwanawe?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

45 Basi, Daudi akimwita Bwana, amekuwaje ni mwanawe?

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:45
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana alimwambia Bwana wangu, Uketi katika mkono wangu wa kulia, Hata niwawekapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako?


Wala hakuweza mtu kumjibu neno; wala hakuthubutu mtu yeyote tangu siku ile kumwuliza neno tena.


Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Kabla ya Abrahamu kuwako, mimi niko.


ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa milele. Amina.


Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulikana kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.


Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi,


Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzawa wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo