Mathayo 22:43 - Swahili Revised Union Version43 Akawauliza, Imekuwaje basi Daudi katika Roho kumwita Bwana, akisema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Yesu akawaambia, “Basi, inawezekanaje kwamba kwa nguvu ya Roho Mtakatifu Daudi anamwita yeye Bwana? Maana alisema: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Yesu akawaambia, “Basi, inawezekanaje kwamba kwa nguvu ya Roho Mtakatifu Daudi anamwita yeye Bwana? Maana alisema: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Yesu akawaambia, “Basi, inawezekanaje kwamba kwa nguvu ya Roho Mtakatifu Daudi anamwita yeye Bwana? Maana alisema: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Akawaambia, “Inakuwaje basi kwamba Daudi, akinena kwa kuongozwa na Roho wa Mungu, anamwita Al-Masihi ‘Bwana’? Kwa maana asema, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Akawaambia, “Inakuwaje basi kwamba Daudi, akinena kwa kuongozwa na Roho, anamwita Al-Masihi ‘Bwana’? Kwa maana asema, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI43 Akawauliza, Imekuwaje basi Daudi katika Roho kumwita Bwana, akisema, Tazama sura |