Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 22:42 - Swahili Revised Union Version

42 Ni mwana wa nani? Wakamwambia, Ni wa Daudi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 “Nyinyi mwaonaje juu ya Kristo? Je, ni mwana wa nani?” Wakamjibu, “Wa Daudi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 “Nyinyi mwaonaje juu ya Kristo? Je, ni mwana wa nani?” Wakamjibu, “Wa Daudi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 “Nyinyi mwaonaje juu ya Kristo? Je, ni mwana wa nani?” Wakamjibu, “Wa Daudi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 “Mnaonaje kuhusu Al-Masihi? Yeye ni mwana wa nani?” Wakamjibu, “Yeye ni mwana wa Daudi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 “Mnaonaje kuhusu Al-Masihi? Yeye ni mwana wa nani?” Wakamjibu, “Yeye ni Mwana wa Daudi.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

42 Ni mwana wa nani? Wakamwambia, Ni wa Daudi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:42
24 Marejeleo ya Msalaba  

Siku hiyo nitaiinua tena maskani ya Daudi iliyoanguka, na kuziba mahali palipobomoka; nami nitayainua magofu yake, na kuyajenga kama siku za kale;


Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu.


Nao waliokuwamo ndani ya mashua wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


Na makutano waliotangulia, na wale waliofuata, wakapaza sauti, wakisema, Hosana, Mwana wa Daudi; ndiye mbarikiwa, yeye ajaye kwa jina la Bwana; Hosana juu mbinguni.


Akawauliza, Imekuwaje basi Daudi katika Roho kumwita Bwana, akisema,


Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, vipofu wawili wakamfuata wakipaza sauti, wakisema, Uturehemu, Mwana wa Daudi.


Nathanaeli akamjibu, Rabi, wewe u Mwana wa Mungu, ndiwe Mfalme wa Israeli.


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!


Hapo hapana Mgiriki wala Myahudi, kutahiriwa wala kutotahiriwa, mgeni wala mshenzi, mtumwa wala muungwana, bali Kristo ni yote, na katika yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo