Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 22:30 - Swahili Revised Union Version

30 Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Maana wafu watakapofufuka hawataoa wala kuolewa; watakuwa kama malaika mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Wakati wa ufufuo, watu hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Wakati wa ufufuo, watu hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:30
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mhimidini BWANA, enyi malaika zake, Ninyi mlio hodari, mtendao neno lake, Mkiisikiliza sauti ya neno lake.


BWANA wa majeshi asema hivi, Ikiwa utaenda katika njia zangu, na kushika maagizo yangu, basi utaihukumu nyumba yangu, na kuzilinda nyua zangu, nami nitakupa haki ya kunikaribia kati yao wasimamao karibu.


Ndipo wenye haki watakapong'aa kama jua katika ufalme wa Baba yao. Mwenye masikio, na asikie.


Angalieni msidharau mmojawapo wa wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. [


Tena kuhusu kiyama ya wafu, hamjalisoma neno lililonenwa na Mungu, akisema,


Kwa kuwa kama vile siku zile zilizokuwa kabla ya Gharika watu walivyokuwa wakila, na kunywa, wakioa na kuolewa, hadi siku ile aliyoingia Nuhu katika safina,


Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia katika safina, gharika ikashuka ikawaangamiza wote.


Nami nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo