Mathayo 22:3 - Swahili Revised Union Version3 Akawatuma watumwa wake wawaite walioalikwa kuja arusini; nao wakakataa kuja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje harusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje harusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje harusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Akawatuma watumishi wake kuwaita wale waliokuwa wamealikwa karamuni, lakini wakakataa kuja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Akawatuma watumishi wake kuwaita wale waliokuwa wamealikwa karamuni, lakini wakakataa kuja. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Akawatuma watumwa wake wawaite walioalikwa kuja harusini; nao wakakataa kuja. Tazama sura |
Pia niliwatuma watumishi wangu wote, manabii, kwenu ninyi, nikiwatuma pasipo kukoma, nikisema, Rudini sasa, kila mtu na aiache njia yake mbaya, mkatengeneze matendo yenu, wala msiifuate miungu mingine, ili kuitumikia, nanyi mtakaa katika nchi hii, niliyowapa ninyi na baba zenu; lakini hamkutega masikio yenu, wala hamkunisikiliza.