Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 22:2 - Swahili Revised Union Version

2 Ufalme wa mbinguni unafanana na mfalme mmoja aliyemfanyia mwanawe arusi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia mwanawe karamu ya harusi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia mwanawe karamu ya harusi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia mwanawe karamu ya harusi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Ufalme wa mbinguni unaweza kufananishwa na mfalme mmoja aliyemwandalia mwanawe karamu ya arusi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Ufalme wa Mbinguni unaweza kufananishwa na mfalme mmoja aliyemwandalia mwanawe karamu ya arusi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Ufalme wa mbinguni unafanana na mfalme mmoja aliyemfanyia mwanawe harusi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika shamba lake;


Yesu akajibu, akawaambia tena kwa mifano, akisema,


nanyi iweni kama watu wanaomngojea bwana wao, atakaporudi kutoka arusini, ili atakapokuja na kubisha, wamfungulie mara.


Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.


Maana nawaonea wivu, wivu wa Mungu; kwa kuwa niliwaposea mume mmoja, ili nimletee Kristo bikira safi.


nawe fanya sawasawa na hukumu watakayokuonesha mahali hapo atakapochagua BWANA; nawe tunza kufanya kwa mfano wa yote watakayokufunza;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo