Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 17:14 - Swahili Revised Union Version

14 Nao walipoufikia mkutano, mtu mmoja akamjia, akampigia magoti, akisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Walipoufikia tena ule umati wa watu, mtu mmoja alimwendea Yesu, akampigia magoti,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Walipoufikia tena ule umati wa watu, mtu mmoja alimwendea Yesu, akampigia magoti,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Walipoufikia tena ule umati wa watu, mtu mmoja alimwendea Yesu, akampigia magoti,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Walipofika penye umati wa watu, mtu mmoja akamjia Isa na kupiga magoti mbele yake, akasema,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Walipofika penye umati wa watu, mtu mmoja akamjia Isa na kupiga magoti mbele yake, akasema,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Nao walipoufikia mkutano, mtu mmoja akamjia, akampigia magoti, akisema,

Tazama sura Nakili




Mathayo 17:14
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wale wanafunzi walipofahamu ya kuwa amesema nao habari za Yohana Mbatizaji.


Akaja kwake mtu mwenye ukoma, akamsihi na kumpigia magoti, na kumwambia, Ukitaka, waweza kunitakasa.


Alipokuwa akitoka kwenda njiani, mtu mmoja akaja mbio, akampigia magoti, akamwuliza, Mwalimu mwema, nifanye nini nipate kuurithi uzima wa milele?


Hata tulipotimiza siku zile tukaondoka tukaenda zetu, na watu wote, pamoja na wake zao na watoto wao, wakatusindikiza mpake nje ya mji, tukapiga magoti pwani tukaomba;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo