Mathayo 17:10 - Swahili Revised Union Version10 Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, Basi kwa nini waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Kisha wanafunzi wakamwuliza, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Kisha wanafunzi wakamwuliza, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Kisha wanafunzi wakamwuliza, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Wale wanafunzi wakamuuliza, “Kwa nini basi walimu wa Torati husema kwamba ni lazima Ilya aje kwanza?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Wale wanafunzi wakamuuliza, “Kwa nini basi walimu wa Torati husema kwamba ni lazima Ilya aje kwanza?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, Basi kwa nini waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza? Tazama sura |