Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 17:10 - Swahili Revised Union Version

10 Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, Basi kwa nini waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Kisha wanafunzi wakamwuliza, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Kisha wanafunzi wakamwuliza, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Kisha wanafunzi wakamwuliza, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Wale wanafunzi wakamuuliza, “Kwa nini basi walimu wa Torati husema kwamba ni lazima Ilya aje kwanza?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Wale wanafunzi wakamuuliza, “Kwa nini basi walimu wa Torati husema kwamba ni lazima Ilya aje kwanza?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Wanafunzi wake wakamwuliza, wakisema, Basi kwa nini waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?

Tazama sura Nakili




Mathayo 17:10
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na ikiwa mnataka kukubali, yeye ndiye Eliya atakayekuja.


Wakasema, Wengine hunena u Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii.


Naye akajibu, akawaambia, Kweli Eliya yuaja kwanza, naye atatengeneza yote,


Wakamwuliza, wakisema, Mbona waandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?


Wakamwuliza, Ni nini basi? U Eliya wewe? Akasema, Mimi siye. Wewe u nabii yule? Akajibu, La.


Wakamwuliza, wakamwambia, Mbona basi wabatiza, ikiwa wewe si Kristo, wala Eliya, wala nabii yule?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo