Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 10:8 - Swahili Revised Union Version

8 Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo. Mmepewa bure, toeni bure.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo. Mmepewa bure, toeni bure.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo. Mmepewa bure, toeni bure.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo wachafu. Mmepata bure, toeni bure.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo wachafu. Mmepata bure, toeni bure.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.

Tazama sura Nakili




Mathayo 10:8
15 Marejeleo ya Msalaba  

Haya, kila aonaye kiu, njoni majini, Naye asiye na fedha; njoni, nunueni mle; Naam, njoni, nunueni divai na maziwa, Bila fedha na bila gharama.


Nawe na wanao pamoja nawe mtautunza ukuhani wenu, kwa ajili ya kila kitu cha madhabahu, na kwa ajili ya vile vilivyomo ndani ya pazia, nanyi mtatumika. Nawapeni ukuhani kuwa utumishi wa kipawa; na mgeni akaribiaye atauawa.


Akawaita wanafunzi wake kumi na wawili, akawapa amri juu ya pepo wachafu, wawatoe, na kuponya magonjwa yote na udhaifu wa kila aina.


Na katika kuenda kwenu, hubirini, mkisema, Ufalme wa mbinguni umekaribia.


Msichukue dhahabu, wala fedha, wala pesa mishipini mwenu;


watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kuua, hakitawadhuru kamwe; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.


waponyeni wagonjwa waliomo, waambieni, Ufalme wa Mungu umewakaribia.


Lakini Petro akasema, Mimi sina fedha, wala dhahabu, lakini nilicho nacho ndicho nikupacho. Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, simama uende.


ukinyosha mkono wako kuponya; ishara na maajabu vifanyike kwa jina la Mtumishi wako mtakatifu Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo