Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 8:22 - Swahili Revised Union Version

22 Wakafika Bethsaida, wakamletea kipofu, wakamsihi amguse.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Yesu alifika Bethsaida pamoja na wanafunzi wake. Huko watu wakamletea kipofu, wakamwomba amguse.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Yesu alifika Bethsaida pamoja na wanafunzi wake. Huko watu wakamletea kipofu, wakamwomba amguse.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Yesu alifika Bethsaida pamoja na wanafunzi wake. Huko watu wakamletea kipofu, wakamwomba amguse.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Wakafika Bethsaida na baadhi ya watu wakamleta mtu mmoja kipofu wakamsihi Isa amguse.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Wakafika Bethsaida na baadhi ya watu wakamleta mtu mmoja kipofu wakamsihi Isa amguse.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Wakafika Bethsaida, wakamletea kipofu, wakamsihi amguse.

Tazama sura Nakili




Marko 8:22
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ole wako, Korazini! Ole wako, Bethsaida! Kwa kuwa kama miujiza iliyofanyika kwenu ingalifanyika katika Tiro na Sidoni, wangalitubu zamani kwa kuvaa magunia na majivu.


nao wakamsihi waguse hata pindo la vazi lake tu; na wote waliogusa wakaponywa kabisa.


Akamgusa mkono, homa ikamwacha; naye akaondoka, akawatumikia.


Yesu akanyosha mkono, akamgusa, akisema Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukatakasika.


Ndipo alipowagusa macho, akasema, Kwa kadiri ya imani yenu na itendeke kwenu.


Wakaja watu wakimletea mtu mwenye kupooza, anachukuliwa na watu wanne.


Maana aliponya wengi, hata wote waliokuwa na misiba wakamrukia wapate kumgusa.


Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande mashuani, watangulie kwenda ng'ambo hata Bethsaida, wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano.


Ole wako Korazini! Ole wako, Bethsaida! Kwa kuwa kama miujiza hiyo iliyofanyika kwenu ingalifanyika katika Tiro na Sidoni, wangalitubu tangu hapo, huku wakikaa katika nguo za magunia na majivu.


Basi wale mitume waliporudi walimweleza mambo yote waliyoyatenda; akawachukua, akaenda nao faraghani mpaka mji mmoja uitwao Bethsaida.


Naye Filipo alikuwa mtu wa Bethsaida, mwenyeji wa mji wa Andrea na Petro.


Basi hao walimwendea Filipo, mtu wa Bethsaida ya Galilaya, wakamwomba, wakisema, Bwana, sisi tunataka kumwona Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo