Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 8:21 - Swahili Revised Union Version

21 Akawaambia, Hamjafahamu bado?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Basi, akawaambia, “Na bado hamjaelewa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Basi, akawaambia, “Na bado hamjaelewa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Basi, akawaambia, “Na bado hamjaelewa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Ndipo akawauliza, “Je, bado hamwelewi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Ndipo akawauliza, “Je, bado hamwelewi?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Akawaambia, Hamjafahamu bado?

Tazama sura Nakili




Marko 8:21
10 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi wajinga miongoni mwa watu, fikirini; Enyi wapumbavu, lini mtakapopata akili?


kwa maana hawakufahamu habari za ile mikate, lakini mioyo yao ilikuwa mizito.


Akapiga kite rohoni mwake, akasema, Mbona kizazi hiki chatafuta ishara? Amin, nawaambieni, Hakitapewa ishara kizazi hiki.


Naye Yesu akatambua, akawaambia, Mbona mnabishana kwa sababu hamna mikate? Hamfahamu bado, wala hamjaelewa? Je! Mioyo yenu ni mizito?


Wakafika Bethsaida, wakamletea kipofu, wakamsihi amguse.


Akawajibu, akasema, Enyi kizazi kisichoamini, nikae nanyi hadi lini? Nichukuliane nanyi hadi lini? Mleteni kwangu.


Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuoneshe Baba?


Tumieni akili kama ipasavyo, wala msitende dhambi; kwa maana wengine hawamjui Mungu. Ninanena hayo niwafedheheshe.


Nasema hayo nipate kuwatahayarisha. Je! Ndivyo, kwamba kwenu hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima, awezaye kukata maneno ya ndugu zake?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo