Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 5:26 - Swahili Revised Union Version

26 na kuvumilia mateso mengi kutoka kwa matabibu wengi, na kugharimiwa mali yake yote aliyokuwa nayo, kusimfae hata kidogo, bali hali yake ilizidi kuwa mbaya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Mwanamke huyo alikuwa amekwisha sumbuka sana kuwaendea waganga wengi. Na ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake yote, hakupata nafuu bali hali yake ilizidi kuwa mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Mwanamke huyo alikuwa amekwisha sumbuka sana kuwaendea waganga wengi. Na ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake yote, hakupata nafuu bali hali yake ilizidi kuwa mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Mwanamke huyo alikuwa amekwisha sumbuka sana kuwaendea waganga wengi. Na ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake yote, hakupata nafuu bali hali yake ilizidi kuwa mbaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Mwanamke huyu alikuwa ameteseka sana kwa mikono ya matabibu wengi, na kutumia kila kitu alichokuwa nacho. Lakini badala ya kupona, hali yake ilizidi kuwa mbaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Mwanamke huyu alikuwa ameteseka sana kwa mikono ya matabibu wengi, na kutumia kila kitu alichokuwa nacho. Lakini badala ya kupona, hali yake ilizidi kuwa mbaya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 na kuvumilia mateso mengi kutoka kwa matabibu wengi, na kugharimiwa mali yake yote aliyokuwa nayo, kusimfae hata kidogo, bali hali yake ilizidi kuwa mbaya.

Tazama sura Nakili




Marko 5:26
8 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini ninyi hubuni maneno ya uongo, Ninyi nyote ni matabibu wasiofaa.


Utuletee msaada juu ya mtesi, Maana wokovu wa binadamu haufai.


Babeli umeanguka na kuangamia ghafla; mwombolezeni; twaeni zeri kwa maumivu yake; ili labda apate kuponywa.


Je! Hakuna marhamu katika Gileadi? Huko hakuna tabibu? Mbona, basi, haijarejea afya ya binti ya watu wangu?


Na mwanamke mmoja mwenye kutoka damu muda wa miaka kumi na miwili,


Aliposikia habari za Yesu, alipita katika mkutano kwa nyuma, akaligusa vazi lake;


Na mwanamke mmoja, ambaye ametokwa na damu muda wa miaka kumi na miwili, [aliyekuwa amegharimiwa mali zake zote kwa kuwapa waganga] asipate kuponywa na mtu yeyote,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo