Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 4:22 - Swahili Revised Union Version

22 Kwa maana hakuna neno lililositirika, ila kusudi lije kudhihirika; wala hakuna lililofichwa, ila kusudi lije kutokea wazi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Basi, kila kilichofichwa kitafichuliwa, na kila kilichofunikwa kitafunuliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Basi, kila kilichofichwa kitafichuliwa, na kila kilichofunikwa kitafunuliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Basi, kila kilichofichwa kitafichuliwa, na kila kilichofunikwa kitafunuliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Kwa kuwa hakuna kilichofichika ambacho hakitafunuliwa, wala hakuna jambo lolote la siri ambalo halitaletwa nuruni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Kwa kuwa hakuna kilichofichika ambacho hakitafunuliwa, wala hakuna jambo lolote la siri ambalo halitaletwa nuruni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Kwa maana hakuna neno lililositirika, ila kusudi lije kudhihirika; wala hakuna lililofichwa, ila kusudi lije kutokea wazi.

Tazama sura Nakili




Marko 4:22
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.


Kwa maana hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi.


Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiria habari ya kusudi lote la Mungu.


maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo tuliyoyaona na kuyasikia.


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo