Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 4:21 - Swahili Revised Union Version

21 Akawaambia, Mwaonaje? Taa huja ili kuwekwa chini ya pishi, au mvunguni? Si kuwekwa juu ya kiango?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Yesu akaendelea kuwaambia, “Je, watu huwasha taa wakaileta ndani na kuifunika kwa debe au kuiweka mvunguni? La! Huiweka juu ya kinara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Yesu akaendelea kuwaambia, “Je, watu huwasha taa wakaileta ndani na kuifunika kwa debe au kuiweka mvunguni? La! Huiweka juu ya kinara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Yesu akaendelea kuwaambia, “Je, watu huwasha taa wakaileta ndani na kuifunika kwa debe au kuiweka mvunguni? La! Huiweka juu ya kinara.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Akawaambia, “Je, taa huwashwa na kufunikwa chini ya kikapu au mvunguni mwa kitanda? Je, haiwashwi na kuwekwa juu ya kinara chake?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Akawaambia, “Je, taa huwashwa na kufunikwa chini ya kikapu au mvunguni mwa kitanda? Je, haiwashwi na kuwekwa juu ya kinara chake?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Akawaambia, Mwaonaje? Taa huja ili kuwekwa chini ya pishi, au mvunguni? Si kuwekwa juu ya kiango?

Tazama sura Nakili




Marko 4:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani.


Hakuna mtu awashaye taa na kuiweka mahali palipositirika, au chini ya pishi; bali huiweka juu ya kiango, ili waingiao wapate kuuona mwanga.


Hakuna mtu ambaye akiisha washa taa huifunika kwa mtungi, au kuiweka mvunguni, bali huiweka juu ya kiango, ili waingiao wapate kuona nuru yake.


Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo