Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:52 - Swahili Revised Union Version

52 naye akaiacha ile nguo ya kitani, akakimbia akiwa uchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

52 Lakini yeye akaponyoka, akaiachilia ile shuka, akakimbia uchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

52 Lakini yeye akaponyoka, akaiachilia ile shuka, akakimbia uchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

52 Lakini yeye akaponyoka, akaiachilia ile shuka, akakimbia uchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

52 alikimbia uchi, akaliacha vazi lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

52 alikimbia uchi, akaliacha vazi lake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

52 naye akaiacha ile nguo ya kitani, akakimbia akiwa uchi.

Tazama sura Nakili




Marko 14:52
5 Marejeleo ya Msalaba  

huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje.


Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Ngozi kwa ngozi, naam, yote aliyo nayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.


Na kijana mmoja alimfuata, akiwa amejitanda mwili wake nguo ya kitani; wakamkamata;


Nao wakamchukua Yesu kwa Kuhani Mkuu; wakamkusanyikia wote, wakuu wa makuhani na wazee na waandishi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo