Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 12:21 - Swahili Revised Union Version

21 Wa pili naye akamtwaa akafa, wala yeye hakuacha mzawa. Na wa tatu kadhalika;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Ndugu wa pili akamwoa huyo mjane, naye pia akafa bila kuacha mtoto; na ndugu watatu hali kadhalika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Wa pili akamwoa yule mjane, lakini naye akafa bila kuacha mtoto yeyote. Ikawa vivyo hivyo kwa yule wa tatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Wa pili akamwoa yule mjane, lakini naye akafa bila kuacha mtoto yeyote. Ikawa vivyo hivyo kwa yule wa tatu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Wa pili naye akamtwaa akafa, wala yeye hakuacha mzao. Na wa tatu kadhalika;

Tazama sura Nakili




Marko 12:21
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kulikuwa na ndugu saba, wa kwanza akatwaa mke, akafa, asiache mzawa.


hata na wote saba, wasiache mzawa. Mwisho wa wote yule mwanamke akafa naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo