Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 12:20 - Swahili Revised Union Version

20 Basi kulikuwa na ndugu saba, wa kwanza akatwaa mke, akafa, asiache mzawa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa, akafa bila kuacha mtoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Basi kulikuwa na ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa bila kuacha mtoto yeyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Basi palikuwepo ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa mke, naye akafa pasipo kuwa na mtoto yeyote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Basi kulikuwa na ndugu saba, wa kwanza akatwaa mke, akafa, asiache mzao.

Tazama sura Nakili




Marko 12:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mwalimu, Musa alituandikia ya kwamba ndugu ya mtu akifa, akamwacha mkewe wala hana mtoto, ndugu yake amtwae yule mkewe akampatie ndugu yake mzao.


Wa pili naye akamtwaa akafa, wala yeye hakuacha mzawa. Na wa tatu kadhalika;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo