Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 12:19 - Swahili Revised Union Version

19 Mwalimu, Musa alituandikia ya kwamba ndugu ya mtu akifa, akamwacha mkewe wala hana mtoto, ndugu yake amtwae yule mkewe akampatie ndugu yake mzao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 “Mwalimu, Mose alituagiza hivi: ‘Mtu akifa na kuacha mke bila mtoto, ndugu yake lazima amchukue huyo mama mjane, ili ampatie ndugu yake watoto.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 “Mwalimu, Mose alituagiza hivi: ‘Mtu akifa na kuacha mke bila mtoto, ndugu yake lazima amchukue huyo mama mjane, ili ampatie ndugu yake watoto.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 “Mwalimu, Mose alituagiza hivi: ‘Mtu akifa na kuacha mke bila mtoto, ndugu yake lazima amchukue huyo mama mjane, ili ampatie ndugu yake watoto.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 wakasema, “Mwalimu, Musa alituandikia kuwa kama ndugu wa mtu akifa na kumwacha mkewe bila mtoto, basi huyo mtu inampasa amwoe huyo mjane ili amzalie ndugu yake watoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 wakasema, “Mwalimu, Musa alituandikia kuwa kama ndugu wa mtu akifa na kumwacha mkewe bila mtoto, basi huyo mtu inampasa amwoe huyo mjane ili amzalie ndugu yake watoto.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Mwalimu, Musa alituandikia ya kwamba ndugu ya mtu akifa, akamwacha mkewe wala hana mtoto, ndugu yake amtwae yule mkewe akampatie ndugu yake mzao.

Tazama sura Nakili




Marko 12:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yuda akamwambia Onani, Uingie kwa mke wa nduguyo, ukamwoe, ukamwinulie nduguyo uzao.


Basi kulikuwa na ndugu saba, wa kwanza akatwaa mke, akafa, asiache mzawa.


Basi, katika ufufuo atakuwa mke wa yupi? Maana aliolewa na wote saba.


Ndipo Boazi aliposema, Siku ile utakapolinunua shamba mkononi mwa Naomi, unamnunua Ruthu pia, huyu Mmoabi, mkewe marehemu, ili makusudi umwinulie marehemu jina katika urithi wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo