Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 5:18 - Swahili Revised Union Version

18 Kwa ajili ya mlima Sayuni ulio ukiwa, Mbweha hutembea juu yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Maana mlima Siyoni umeachwa tupu, mbweha wanazurura humo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Maana mlima Siyoni umeachwa tupu, mbweha wanazurura humo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Maana mlima Siyoni umeachwa tupu, mbweha wanazurura humo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 kwa sababu Mlima Sayuni umekaa ukiwa, na mbweha wanatembea juu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 kwa ajili ya Mlima Sayuni, ambao unakaa ukiwa, nao mbweha wanatembea juu yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Kwa ajili ya mlima Sayuni ulio ukiwa, Mbweha hutembea juu yake.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 5:18
18 Marejeleo ya Msalaba  

Akaiteketeza nyumba ya BWANA, na nyumba ya mfalme; na nyumba zote za Yerusalemu, naam, kila nyumba kubwa aliiteketeza kwa moto.


Basi Tobia, Mwamoni, alikuwa karibu naye, akasema, Hata hiki wanachokijenga, angepanda mbweha, angeubomoa ukuta wao wa mawe.


Watatolewa wafe kwa nguvu za upanga, Watakuwa riziki za mbwamwitu.


Ee BWANA, usione hasira nyingi, wala usiukumbuke uovu siku zote; tazama, angalia, twakusihi, sisi sote tu watu wako.


Ee mlima wangu wa uwandani, nitatoa mali zako na hazina zako zote ziwe nyara, na mahali pako palipoinuka, kwa sababu ya dhambi, katika mipaka yako yote.


Kwa nini umetabiri kwa jina la BWANA, ukisema, Nyumba hii itakuwa kama Shilo, na mji huu utakuwa ukiwa, hautakaliwa na mtu? Watu wote wakamkusanyikia Yeremia katika nyumba ya BWANA.


BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Ninyi mmeona mabaya yote niliyoleta juu ya Yerusalemu, na juu ya miji yote ya Yuda; na, tazama, ni ukiwa leo, wala hapana mtu akaaye ndani yake;


Kwa sababu hiyo ghadhabu yangu, na hasira yangu, zilimwagika, nazo ziliwaka katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu, na miji hiyo imeachwa ukiwa, na kuharibika, kama ilivyo leo.


Akaiteketeza nyumba ya BWANA, na nyumba ya mfalme; na nyumba zote za Yerusalemu, naam, kila nyumba kubwa aliiteketeza kwa moto.


Kwa milima nitalia na kulalama, Na kwa malisho ya nyikani nitafanya maombolezo; Kwa sababu yameteketea, hata hakuna apitaye, Wala hapana awezaye kusikia sauti ya ng'ombe; Ndege wa angani, na wanyama wa mwituni, Wamekimbia, wamekwenda zao.


Nami nitafanya Yerusalemu kuwa magofu, Makao ya mbweha; Nami nitaifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa, Isikaliwe na mtu awaye yote.


Ee Israeli, manabii wako wamekuwa kama mbweha, mahali palipo ukiwa.


Basi sasa, Ee Mungu wetu, yasikilize maombi ya mtumishi wako, na dua zake, ukaangazishe uso wako juu ya patakatifu pako palipo ukiwa, kwa ajili ya Bwana.


Basi, kwa ajili yenu, Sayuni utalimwa kama shamba lilimwavyo, na Yerusalemu utakuwa magofu; na mlima wa nyumba utakuwa kama mahali palipoinuka msituni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo